Staa wa Bongo Flava, Nassib Abdul maarufu kama Diamond Platnumz ameiomba Serikali kutengeneza Arena kwa ajili ya matamasha ...
Same. Zaidi ya wanafunzi 30 wa Shule ya Sekondari ya Tumaini Jema, wilaya ya Same, mkoani Kilimanjaro waliojeruhiwa kwa ...
Dodoma. Serikali inatarajia kujenga shule 103 za sekondari za elimu ya amali nchini ili kukidhi mahitaji ya wanafunzi ...
Baada ya mambo kuwa magumu na kuwepo misifa mingi juu ya majuu, vijana wetu wanaolewa na wanawake wa Kizungu ili iwe passport ...
Utafiti huo unaoitwa ‘Thamani ya upokeaji: Kuelewa mazingira ya malipo ya kidijitali Tanzania,’ unaeleza kuwa asilimia 84 ya ...
Wakati miili ya marehemu waliofariki kwa ajali jana kwenye ziara ya chama cha Mapinduzi (CCM) mkoani Mbeya, majeruhi ...
Wakati baadhi ya watu wakiwekeza fedha kwenye kampuni za upatu, imeelezwa kuwa, ukuaji wa teknolojia unakuja na fursa nyingi, ...
Ilipopata ithibati ya kimataifa kama Mwajiri Bora wa Mwaka 2025 nchini kutoka kwa mamlaka ya rasilimali watu ya kimataifa, ...
Imeelezwa bidhaa hizo zinapaswa kuuziana kwa nchi wanachama kuliko kuagiza kutoka nje, hivyo teknolojia inapaswa kutumika ili ...
Baadhi ya wakazi wa mtaa wa Mahomanyika, Kata ya Nzuguni Jijini Dodoma wakiwa mbele ya ofisi ya CCM mkoa wa Dodoma kwa ajili ...
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk Doto Biteko amewaagiza wakurugenzi na wakuu wa wilaya nchini, kuanzisha utaratibu ...
Mamlaka ya Viwanja vya Ndege Tanzania (TAA), imezindua mwendelezo wa awamu ya kwanza ya ulipaji fidia ya Sh20 bilioni kwa ...